33. Aina ya tatu ya majina yaliyochukizwa

3- Imechukizwa kukusudia kupeana majina ya mafusaki wendawazimu katika wachezaji wa maigizo, waimbaji na wengine wasiokuwa na maana.

Kitu kinachowafichua baadhi ya ambao hawana imani ni kwamba pindi wanapomuona mchezaji mwanamke aliye na nguo nyepesi, wanakimbilia kuwapa watoto wao wenye kuzaliwa majina yao. Mwenye kutazama orodha ya watoto wachanga wanaozaliwa ataona ukweli wa hayo

  • Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 26
  • Imechapishwa: 18/03/2017