Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Ibn Kathiyr (Rahimahu Allaah) amesema:
“Muumbaji wa vitu hivi ndiye Mwenye kustahiki kuabudiwa.”
MAELEZO
Ibn Kathiyr – Imaad-ud-Diyn Abul-Fidaa´ Ismaa´iyl bin ´Umar al-Qurashiy ad-Dimashqiy. Muhifadhi anayejulikana, mtunzi wa wa “at-Tafsiyr” na “at-Taariykh” na mmoja katika wanafunzi wa Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah. Alikufa mwaka wa 774.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 53
- Imechapishwa: 22/05/2020
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Ibn Kathiyr (Rahimahu Allaah) amesema:
“Muumbaji wa vitu hivi ndiye Mwenye kustahiki kuabudiwa.”
MAELEZO
Ibn Kathiyr – Imaad-ud-Diyn Abul-Fidaa´ Ismaa´iyl bin ´Umar al-Qurashiy ad-Dimashqiy. Muhifadhi anayejulikana, mtunzi wa wa “at-Tafsiyr” na “at-Taariykh” na mmoja katika wanafunzi wa Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah. Alikufa mwaka wa 774.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 53
Imechapishwa: 22/05/2020
https://firqatunnajia.com/32-muumbaji-wa-vitu-hivi-ndiye-mwenye-kustahiki-kuabudiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)