30- Muhammad ametukhabarisha: Hamad ametuhadithia: Sulaymaan ametuhadithia: al-Miqdaam bin Daawuud ametuhadithia: ´Aliy bin Ma´bad ametuhadithia: Wahb bin Raashid ametuhadithia, kutoka kwa Farqad, kutoka kwa Anas ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) alimteremshia ufunuo Mtume mmoja katika Mitume yake: “Inakuweje waja Wangu wanaingia katika Nyumba yangu – yaani misikiti – kwa nyoyo zisizokuwa safi na mikono michafu? Wanadanganyika Nami? Wanataka kunihadaa Mimi? Naapa kwa ufalme Wangu, utukufu Wangu na ujuu katika ujuu Wangu ya kwamba nitawajaribu kwa jaribio ambalo nitamfanya mvumilivu kuwa ni mwenye kudangana. Hakuna yeyote katika wao atakayesalimika isipokuwa yule aliyeomba kama du´aa ya mwenye kuzama.”[1]
[1] Abu Nu´aym al-Aswbahaaniy amesema:
”Hadiyth za Wahb na Farqad si hoja kwa yale waliyopwekeka katika kuyasimulia.” (Hilyat-ul-Awliyaa’ (3/56))
adh-Dhahabiy amesema:
“Si Swahiyh, lakini ni yenye kuwezekana.” (al-´Uluww, uk. 52)
- Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 118-119
- Imechapishwa: 10/06/2018
30- Muhammad ametukhabarisha: Hamad ametuhadithia: Sulaymaan ametuhadithia: al-Miqdaam bin Daawuud ametuhadithia: ´Aliy bin Ma´bad ametuhadithia: Wahb bin Raashid ametuhadithia, kutoka kwa Farqad, kutoka kwa Anas ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) alimteremshia ufunuo Mtume mmoja katika Mitume yake: “Inakuweje waja Wangu wanaingia katika Nyumba yangu – yaani misikiti – kwa nyoyo zisizokuwa safi na mikono michafu? Wanadanganyika Nami? Wanataka kunihadaa Mimi? Naapa kwa ufalme Wangu, utukufu Wangu na ujuu katika ujuu Wangu ya kwamba nitawajaribu kwa jaribio ambalo nitamfanya mvumilivu kuwa ni mwenye kudangana. Hakuna yeyote katika wao atakayesalimika isipokuwa yule aliyeomba kama du´aa ya mwenye kuzama.”[1]
[1] Abu Nu´aym al-Aswbahaaniy amesema:
”Hadiyth za Wahb na Farqad si hoja kwa yale waliyopwekeka katika kuyasimulia.” (Hilyat-ul-Awliyaa’ (3/56))
adh-Dhahabiy amesema:
“Si Swahiyh, lakini ni yenye kuwezekana.” (al-´Uluww, uk. 52)
Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 118-119
Imechapishwa: 10/06/2018
https://firqatunnajia.com/32-dalili-ya-thelathini-kutoka-katika-sunnah-kwamba-allaah-yuko-juu-ya-viumbe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)