29- Ni wajibu kwa yule mwenye kualikwa katika walima basi aitikie wito. Kuna Hadiyth mbili juu ya hilo zifuatazo:
1- Mwacheni huru aliye mikononi mwa maadui, itikie mwaliko na watembeleeni wagonjwa.”[1]
2- Atapoalikwa mmoja wenu katika karamu ya ndoa basi aitikie. Ni mamoja ikiwa ni karamu ya harusi au nyengineyo. Yule ambaye hakuitikia wito basi amemuasi Allaah na Mtume Wake.”[2]
[1] Ameipokea al-Bukhaariy (09/198), ´Abd bin Humayd katika “al-Muntakhab min Musnad” (01/65) kupitia Hadiyth ya Abu Muusa al-Ash´ariy.
[2] Ameipokea al-Bukhaariy (09/198), Muslim (04/152), Ahmad (6337), al-Bayhaqiy (07/262) kupitia Hadiyth ya Ibn ´Amr.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 154
- Imechapishwa: 21/03/2018
29- Ni wajibu kwa yule mwenye kualikwa katika walima basi aitikie wito. Kuna Hadiyth mbili juu ya hilo zifuatazo:
1- Mwacheni huru aliye mikononi mwa maadui, itikie mwaliko na watembeleeni wagonjwa.”[1]
2- Atapoalikwa mmoja wenu katika karamu ya ndoa basi aitikie. Ni mamoja ikiwa ni karamu ya harusi au nyengineyo. Yule ambaye hakuitikia wito basi amemuasi Allaah na Mtume Wake.”[2]
[1] Ameipokea al-Bukhaariy (09/198), ´Abd bin Humayd katika “al-Muntakhab min Musnad” (01/65) kupitia Hadiyth ya Abu Muusa al-Ash´ariy.
[2] Ameipokea al-Bukhaariy (09/198), Muslim (04/152), Ahmad (6337), al-Bayhaqiy (07/262) kupitia Hadiyth ya Ibn ´Amr.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 154
Imechapishwa: 21/03/2018
https://firqatunnajia.com/31-uwajibu-wa-kuitikia-mwaliko/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)