Abu Muhammad ´Abdullaah bin Abiy Zayd al-Qayrawaaniy (Rahimahu Allaah) amesema:
Nitayagawanya yale niliyokuahidi mlango kwa mlango ili yawe rahisi kwa mwanafunzi kuyafahamu – Allaah (Ta´ala) akitaka. Yeye pekee Ndiye tunamtaka tawfiki na Yeye pekee Ndiye tunamtaka msaada. Hapana nguvu wala namna isipokuwa kwa msaada wa Allaah, Aliye juu kabisa, Aliye mtukufu. Swalah na amani zimwendee bwana wetu na Mtume Wake Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
MAELEZO
Anamzungumzisha mwalimu wake ambaye kamwomba kutunga kijitabu hiki na utangulizi wake wenye manufaa.
Ametaja kwamba amekigawanya kitabu katika milango ili iweze kumsaidia mwanafunzi na msomaji kuelewa hatua kwa hatua. Vinginevyo inakuwa vigumu kwa msomaji kukisoma kitabu ambacho hakina milango.
Kisha akamwomba Allaah tawfiki na msaada. Amejiweka mbali kutokamana na nguvu na namna na akamnasibishia nayo Allaah (´Azza wa Jall). Akamalizia kumwomba Allaah amswalie na kumsalimu Mtume Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Bayaan-ul-Ma´aaniy fiy Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy, uk. 29
- Imechapishwa: 25/07/2021
Abu Muhammad ´Abdullaah bin Abiy Zayd al-Qayrawaaniy (Rahimahu Allaah) amesema:
Nitayagawanya yale niliyokuahidi mlango kwa mlango ili yawe rahisi kwa mwanafunzi kuyafahamu – Allaah (Ta´ala) akitaka. Yeye pekee Ndiye tunamtaka tawfiki na Yeye pekee Ndiye tunamtaka msaada. Hapana nguvu wala namna isipokuwa kwa msaada wa Allaah, Aliye juu kabisa, Aliye mtukufu. Swalah na amani zimwendee bwana wetu na Mtume Wake Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
MAELEZO
Anamzungumzisha mwalimu wake ambaye kamwomba kutunga kijitabu hiki na utangulizi wake wenye manufaa.
Ametaja kwamba amekigawanya kitabu katika milango ili iweze kumsaidia mwanafunzi na msomaji kuelewa hatua kwa hatua. Vinginevyo inakuwa vigumu kwa msomaji kukisoma kitabu ambacho hakina milango.
Kisha akamwomba Allaah tawfiki na msaada. Amejiweka mbali kutokamana na nguvu na namna na akamnasibishia nayo Allaah (´Azza wa Jall). Akamalizia kumwomba Allaah amswalie na kumsalimu Mtume Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Bayaan-ul-Ma´aaniy fiy Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy, uk. 29
Imechapishwa: 25/07/2021
https://firqatunnajia.com/31-kitabu-kinatakiwa-kugawanywa-milango/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)