Swali 30: Ni ipi hukumu ya kumtakia rehema anayechemua na imamu anatoa Khutbah siku ya ijumaa[1]?
Jibu: Haikuwekwa katika Shari´ah kumtakia rehema kutokana na ulazima wa kunyamaza. Kama ambavo anayepiga chafya hatakiwi rehema ndani ya swalah vivyo hivyo hatakiwi rehema anayechemua wakati wa Khutbah.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/339).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 70
- Imechapishwa: 02/12/2021
Swali 30: Ni ipi hukumu ya kumtakia rehema anayechemua na imamu anatoa Khutbah siku ya ijumaa[1]?
Jibu: Haikuwekwa katika Shari´ah kumtakia rehema kutokana na ulazima wa kunyamaza. Kama ambavo anayepiga chafya hatakiwi rehema ndani ya swalah vivyo hivyo hatakiwi rehema anayechemua wakati wa Khutbah.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/339).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 70
Imechapishwa: 02/12/2021
https://firqatunnajia.com/30-kumtakia-rehema-anayechemua-wakati-wa-khutbah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)