Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah) amesema:
“Inatakiwa kuamini kuwa ´Iysaa bin Maryam (´alayhis-Salaam) atashuka na kumuua karibu na mlango wa Ludd.”
MAELEZO
Imepokelewa kwamba ´Iysaa bin Maryam (´alayhis-Salaam) atateremka wakati ambapo waislamu wanasubiri Fajr. Atakuwa amevaa shuka mbili za juu za manjano na atakuwa ameweka mikono yake miwili juu ya mbawa za Malaika wawili. Wakati kutapokimiwa swalah al-Mahdiy atamwambia:
“Tangulia mbele, ee roho ya Allaah.” Aseme: “Maimamu wenu ni kutokamana na nyinyi.”
Kisha atoke kwenda kumtafuta ad-Dajjaal, mikononi mwake atakuwa na mkuki. Atamkuta karibu na mlango wa Ludd na atamuua hapo. Halafu atawaendea waumini awapongeze na awaeleze ngazi zao Peponi. Imepokelewa vilevile kwamba atamuuoa msichana wa al-Mahdiy ambaye atamfungulia njia.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 127-128
- Imechapishwa: 24/04/2019
Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah) amesema:
“Inatakiwa kuamini kuwa ´Iysaa bin Maryam (´alayhis-Salaam) atashuka na kumuua karibu na mlango wa Ludd.”
MAELEZO
Imepokelewa kwamba ´Iysaa bin Maryam (´alayhis-Salaam) atateremka wakati ambapo waislamu wanasubiri Fajr. Atakuwa amevaa shuka mbili za juu za manjano na atakuwa ameweka mikono yake miwili juu ya mbawa za Malaika wawili. Wakati kutapokimiwa swalah al-Mahdiy atamwambia:
“Tangulia mbele, ee roho ya Allaah.” Aseme: “Maimamu wenu ni kutokamana na nyinyi.”
Kisha atoke kwenda kumtafuta ad-Dajjaal, mikononi mwake atakuwa na mkuki. Atamkuta karibu na mlango wa Ludd na atamuua hapo. Halafu atawaendea waumini awapongeze na awaeleze ngazi zao Peponi. Imepokelewa vilevile kwamba atamuuoa msichana wa al-Mahdiy ambaye atamfungulia njia.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 127-128
Imechapishwa: 24/04/2019
https://firqatunnajia.com/29-kushuka-kwa-iysaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)