al-Ja´d bin Dirham alipouawa akaja baada yake al-Jahm bin Swafwaan. Yeye pia akaanzisha imani yake chafu. Akauawa na Salm bin Ahwaz[1]. Namna hii ndivo walivyokuwa watawala wa waislamu. Walikuwa wakiwaua mazanadiki kwa ajili ya kuilinda ´Aqiydah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kuibadilisha dini yake muueni.”[2]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Si halali damu ya mtu muislamu isipokuwa kwa moja ya mambo matatu; ambaye kishawaingia kuingia katika ndoa akazini, nafsi inauliwa kwa nafsi nyingine au anayeiacha dini yake mwenye kufarikisha al-Jamaa´ah.”[3]
Walikuwa wakiwaua mazanadiki na wakiwastarehesha waislamu kutokamana na shari yao kwa ajili ya kuilinda ´Aqiydah ambayo ndio jambo la kwanza la kilazima katika yale mambo matano ya kilazima ambayo ni wajibu kwa kuyahifadhi.
Hili ndio chimbuko la imani hii mbaya. Kisha Mu´tazilah wakairithi. Ja´fariyyah katika Shiy´ah pia wanaamini imani yao. Kwa sababu walijifunza kutoka kwa Mu´tazilah na wakajifunza kutoka kwao. Shiy´ah az-Zaydiyyah na Ibaadhiyyah wanaamini imani hii na wanaitakidi kuwa Qur-aan imeumbwa na kwamba sio maneno ya Allaah. Wote haya wameyarithi kutoka kwa Jahmiyyah. Yote haya yameandikwa katika ´Aqiydah zao wanazosoma hivi sasa.
[1] Tazama ”Bayaan Talbiys-il-Jahmiyyah” (01/277) na ”Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah”, uk. 591.
[2] al-Bukhaariy (6922, 3017) kupitia kwa Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa).
[3] al-Bukhaariy (6878) na Muslim (1676) kupitia kwa Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-il-Imaam Mujaddid Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab, uk. 49
- Imechapishwa: 15/03/2021
al-Ja´d bin Dirham alipouawa akaja baada yake al-Jahm bin Swafwaan. Yeye pia akaanzisha imani yake chafu. Akauawa na Salm bin Ahwaz[1]. Namna hii ndivo walivyokuwa watawala wa waislamu. Walikuwa wakiwaua mazanadiki kwa ajili ya kuilinda ´Aqiydah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kuibadilisha dini yake muueni.”[2]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Si halali damu ya mtu muislamu isipokuwa kwa moja ya mambo matatu; ambaye kishawaingia kuingia katika ndoa akazini, nafsi inauliwa kwa nafsi nyingine au anayeiacha dini yake mwenye kufarikisha al-Jamaa´ah.”[3]
Walikuwa wakiwaua mazanadiki na wakiwastarehesha waislamu kutokamana na shari yao kwa ajili ya kuilinda ´Aqiydah ambayo ndio jambo la kwanza la kilazima katika yale mambo matano ya kilazima ambayo ni wajibu kwa kuyahifadhi.
Hili ndio chimbuko la imani hii mbaya. Kisha Mu´tazilah wakairithi. Ja´fariyyah katika Shiy´ah pia wanaamini imani yao. Kwa sababu walijifunza kutoka kwa Mu´tazilah na wakajifunza kutoka kwao. Shiy´ah az-Zaydiyyah na Ibaadhiyyah wanaamini imani hii na wanaitakidi kuwa Qur-aan imeumbwa na kwamba sio maneno ya Allaah. Wote haya wameyarithi kutoka kwa Jahmiyyah. Yote haya yameandikwa katika ´Aqiydah zao wanazosoma hivi sasa.
[1] Tazama ”Bayaan Talbiys-il-Jahmiyyah” (01/277) na ”Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah”, uk. 591.
[2] al-Bukhaariy (6922, 3017) kupitia kwa Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa).
[3] al-Bukhaariy (6878) na Muslim (1676) kupitia kwa Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-il-Imaam Mujaddid Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab, uk. 49
Imechapishwa: 15/03/2021
https://firqatunnajia.com/28-msimamo-wa-watawala-wa-waislamu-hapo-kale-kwa-wazushi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)