28- Muhammad bin Muusaa as-Swayrafiy ametuhadithia: al-Aswamm ametuhadithia: Hamdaan al-Warraaq ametuhadithia: Muusaa bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Abaan ametuhadithia, kutoka kwa Qataadah, kutoka kwa Anas (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kutatupwa Motoni na useme:
هَلْ مِن مَّزِيدٍ
“Hakuna zaidi?”[1]
mpaka Mola wa walimwengu aweke unyayo Wake ndani ambapo utasema: “Tosha, tosha.”[2]
[1] 50:30
[2] al-Bukhaariy (4848), Muslim (2188) na Ibn Khuzaymah katika ”at-Tawhiyd”, uk. 92-93.
- Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 58
- Imechapishwa: 04/02/2017
28- Muhammad bin Muusaa as-Swayrafiy ametuhadithia: al-Aswamm ametuhadithia: Hamdaan al-Warraaq ametuhadithia: Muusaa bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Abaan ametuhadithia, kutoka kwa Qataadah, kutoka kwa Anas (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kutatupwa Motoni na useme:
هَلْ مِن مَّزِيدٍ
“Hakuna zaidi?”[1]
mpaka Mola wa walimwengu aweke unyayo Wake ndani ambapo utasema: “Tosha, tosha.”[2]
[1] 50:30
[2] al-Bukhaariy (4848), Muslim (2188) na Ibn Khuzaymah katika ”at-Tawhiyd”, uk. 92-93.
Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 58
Imechapishwa: 04/02/2017
https://firqatunnajia.com/28-dalili-ya-kwamba-allaah-ana-mguu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)