Swali 27: Ni upi hukumu ya kuonja chakula mchana wa Ramadhaan ilihali mwanamke amefunga?
Jibu: Hukumu yake ni kwamba hakuna neno kwa sababu haja imepelekea kufanya hivo. Lakini ateme kile alichoonja.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 23
- Imechapishwa: 26/07/2021