126- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Upepo ni katika Rahmah ya Allaah. Unakuja kwa Rahmah na unakuja kwa adhabu. Mnapouona msiutukane. Muombeni Allaah kheri yake na muombeni kinga kutokana na shari yake.”
127- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kunapokuwa upepo alikuwa akisema:
اللَّهُمَّ إِني أَسْأَلك خيرها وخيرَ مَا فِيها وخيرَ ما أُرْسِلَتْ بِهِ وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّها وَشر مَا فِيهَا وشَرَّ ما أُرسلت به
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kheri yake, kheri ya kilicho ndani yake na kheri ya uliyoituma ndani yake. Na najikinga Kwako kutokana na shari yake, shari iliyomo ndani yake na shari iliyotumwa nao.”
128- Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anaona kutawanyika kwa mawingu katika upeo wa macho anaacha anachokifanya hata kama ni Du´aa na kusema:
اللهُمَّ إِنِي أَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّهَا
“Ee Allaah! Ninakuomba kinga dhidi ya shari yake.”
Kunapoanza kunyesha anasema:
اللَّهُمَّ صيِّباً هَنيئاً
“Ee Allaah! [Ijaalie iwe ni] yenye kumiminika yenye kunufaisha”
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 86-87
- Imechapishwa: 21/03/2017
126- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Upepo ni katika Rahmah ya Allaah. Unakuja kwa Rahmah na unakuja kwa adhabu. Mnapouona msiutukane. Muombeni Allaah kheri yake na muombeni kinga kutokana na shari yake.”
127- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kunapokuwa upepo alikuwa akisema:
اللَّهُمَّ إِني أَسْأَلك خيرها وخيرَ مَا فِيها وخيرَ ما أُرْسِلَتْ بِهِ وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّها وَشر مَا فِيهَا وشَرَّ ما أُرسلت به
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kheri yake, kheri ya kilicho ndani yake na kheri ya uliyoituma ndani yake. Na najikinga Kwako kutokana na shari yake, shari iliyomo ndani yake na shari iliyotumwa nao.”
128- Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anaona kutawanyika kwa mawingu katika upeo wa macho anaacha anachokifanya hata kama ni Du´aa na kusema:
اللهُمَّ إِنِي أَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّهَا
“Ee Allaah! Ninakuomba kinga dhidi ya shari yake.”
Kunapoanza kunyesha anasema:
اللَّهُمَّ صيِّباً هَنيئاً
“Ee Allaah! [Ijaalie iwe ni] yenye kumiminika yenye kunufaisha”
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 86-87
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/27-duaa-wakati-wa-upepo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)