27- Hamzah bin Muhammad al-Ja´fariy ametuhadithia: ´Abdul-Wahhaab bin al-Hasan ametuhadithia Dameski: Abuu Hawdhw ametuhadithia: Ibn Mathruud ametuhadithia: Ibn-ul-Qaasim ametuhadithia, kutoka kwa Maalik, kutoka kwa Abuuz-Zinaad, kutoka kwa al-A´raj, kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) aliyeeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) anawacheka watu wawili. Mmoja wao kamuua mwengine na wote wawili wanaingia Peponi.”[1]
az-Zuhriy na Ibn ´Uyaynah wamesema:
“Mshirikina amemuua muislamu, kisha akasilimu halafu akafa.”
[1] Ahmad (27464), al-Bukhaariy (2826), Muslim (1890), Ibn Maajah (191) na Ibn Khuzaymah katika ”at-Tawhiyd”, uk. 234.
- Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 57
- Imechapishwa: 03/02/2017
27- Hamzah bin Muhammad al-Ja´fariy ametuhadithia: ´Abdul-Wahhaab bin al-Hasan ametuhadithia Dameski: Abuu Hawdhw ametuhadithia: Ibn Mathruud ametuhadithia: Ibn-ul-Qaasim ametuhadithia, kutoka kwa Maalik, kutoka kwa Abuuz-Zinaad, kutoka kwa al-A´raj, kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) aliyeeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) anawacheka watu wawili. Mmoja wao kamuua mwengine na wote wawili wanaingia Peponi.”[1]
az-Zuhriy na Ibn ´Uyaynah wamesema:
“Mshirikina amemuua muislamu, kisha akasilimu halafu akafa.”
[1] Ahmad (27464), al-Bukhaariy (2826), Muslim (1890), Ibn Maajah (191) na Ibn Khuzaymah katika ”at-Tawhiyd”, uk. 234.
Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 57
Imechapishwa: 03/02/2017
https://firqatunnajia.com/27-dalili-ya-kwamba-allaah-anacheka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)