25- ´Abdullaah bin Mansuur alisomewa na mimi huku nasikiza: Abul-Husayn al-Mubaarak bin ´Abdil-Jabbaar amekukhabarisheni: Muhammad bin ´Abdil-Waahid ametuhadithia: Abu Bakr bin Shaadhaan ametuhadithia: Abu ´Abdillaah bin al-Mughallas ametuhadithia: Sa´iyd bin Yahyaa al-Umawiy ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: Muhammad bin Ishaaq ametuhadithia kutoka kwa Ma´bad bin Ka´b bin Maalik ambaye amesema:
“Baada ya Sa´d bin Mu´aadh kuwahukumu Banuu Quraydhwah Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia: “Umewahukumu kwa hukumu ambayo amehukumu kwayo Allaah juu ya mbingu ya saba.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa adh-Dhahabiy katika ”al-´Uluww”, uk. 32
- Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 108
- Imechapishwa: 07/06/2018
25- ´Abdullaah bin Mansuur alisomewa na mimi huku nasikiza: Abul-Husayn al-Mubaarak bin ´Abdil-Jabbaar amekukhabarisheni: Muhammad bin ´Abdil-Waahid ametuhadithia: Abu Bakr bin Shaadhaan ametuhadithia: Abu ´Abdillaah bin al-Mughallas ametuhadithia: Sa´iyd bin Yahyaa al-Umawiy ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: Muhammad bin Ishaaq ametuhadithia kutoka kwa Ma´bad bin Ka´b bin Maalik ambaye amesema:
“Baada ya Sa´d bin Mu´aadh kuwahukumu Banuu Quraydhwah Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia: “Umewahukumu kwa hukumu ambayo amehukumu kwayo Allaah juu ya mbingu ya saba.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa adh-Dhahabiy katika ”al-´Uluww”, uk. 32
Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 108
Imechapishwa: 07/06/2018
https://firqatunnajia.com/27-dalili-ya-ishirini-na-tano-kutoka-katika-sunnah-kwamba-allaah-yuko-juu-ya-viumbe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)