24- Uwajibu wa walima
Ni kwa mwanaume kufanya karamu ya harusi baada ya maingiliano. Hili ni kutokana na maamrisho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwamrisha ´Abdur-Rahmaan bin ´Awf – kama itavyokuja – na kutokana na Hadiyth ya Buraydah bin al-Haswiyb aliyesimulia: ”Wakati ´Aliy alipomposa Faatwimah (Radhiya Allaahu ´anh) Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Ni lazima harusi… “
Katika upokezi mwingine:
“… wanaharusi wafanyiwe karamu.”[1]
Ndipo Sa´d akasema: “Mimi nitajitolea kondoo.” Mwengine akasema: “Mimi nitajitolea kadhaa na kadhaa katika mahindi.”
Katika upokezi mwingine:
“Kundi la Answaar wakakusanya mahindi mengi.”
[1] Ameipokea Ahmad (05/359), at-Twabaraaniy (01/112/1), at-Twahaawiy katik “al-Mushkil” (04/144-145), Ibn ´Asaakir (88/12/02) na (02/124/15). Utimilifu wake utakuja huko mbele katika kurasa ya 173-174. Mlolongo wa wapokezi wake ni kama alivyosema al-Haafidhw katika “al-Fath”:
“Hauna neno.”
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 142-144
- Imechapishwa: 19/03/2018
24- Uwajibu wa walima
Ni kwa mwanaume kufanya karamu ya harusi baada ya maingiliano. Hili ni kutokana na maamrisho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwamrisha ´Abdur-Rahmaan bin ´Awf – kama itavyokuja – na kutokana na Hadiyth ya Buraydah bin al-Haswiyb aliyesimulia: ”Wakati ´Aliy alipomposa Faatwimah (Radhiya Allaahu ´anh) Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Ni lazima harusi… “
Katika upokezi mwingine:
“… wanaharusi wafanyiwe karamu.”[1]
Ndipo Sa´d akasema: “Mimi nitajitolea kondoo.” Mwengine akasema: “Mimi nitajitolea kadhaa na kadhaa katika mahindi.”
Katika upokezi mwingine:
“Kundi la Answaar wakakusanya mahindi mengi.”
[1] Ameipokea Ahmad (05/359), at-Twabaraaniy (01/112/1), at-Twahaawiy katik “al-Mushkil” (04/144-145), Ibn ´Asaakir (88/12/02) na (02/124/15). Utimilifu wake utakuja huko mbele katika kurasa ya 173-174. Mlolongo wa wapokezi wake ni kama alivyosema al-Haafidhw katika “al-Fath”:
“Hauna neno.”
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 142-144
Imechapishwa: 19/03/2018
https://firqatunnajia.com/26-wajibu-kwa-bwanaharusi-kufanya-karamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)