1- Kukubali ujumbe wake na kuuamini ndani ya moyo.
2- Kuyatamka na kuyakubali kwa nje kwenye mdomo.
3- Kumfuata kwa njia ya kwamba mtu afanyie kazi ile haki aliyokuja nayo na ajiepushe na ile batili aliyokataza.
4- Kumsadikisha mambo yaliyojificha aliyokhabarisha yaliyopita na yatayokuja huko mbele.
5- Mtu ampende zaidi ya anavyoipenda nafsi, mali, watoto, wazazi wake na watu wengine wote.
6- Kuyatanguliza maneno yake mbele ya maneno ya yeyote na kutendea kazi Sunnah zake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 50-51
- Imechapishwa: 19/02/2020
1- Kukubali ujumbe wake na kuuamini ndani ya moyo.
2- Kuyatamka na kuyakubali kwa nje kwenye mdomo.
3- Kumfuata kwa njia ya kwamba mtu afanyie kazi ile haki aliyokuja nayo na ajiepushe na ile batili aliyokataza.
4- Kumsadikisha mambo yaliyojificha aliyokhabarisha yaliyopita na yatayokuja huko mbele.
5- Mtu ampende zaidi ya anavyoipenda nafsi, mali, watoto, wazazi wake na watu wengine wote.
6- Kuyatanguliza maneno yake mbele ya maneno ya yeyote na kutendea kazi Sunnah zake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 50-51
Imechapishwa: 19/02/2020
https://firqatunnajia.com/26-sharti-za-kushuhudia-ya-kwamba-muhammad-ni-mtume-wa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)