Swali 26: Ni ipi hukumu ya ambaye aliyazuia matapishi ilihali amefunga? Je, ailipe siku hiyo au hapanaa?
Jibu: Hukumu yake ni kuwa si lazima kulipa. Ama akijitapikisha ni lazima kulipa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”
Ameipokea Imaam Ahmad na waandishi wa ”as-Sunan” wane kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdllaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: As-ilah Muhimmah tata´alaqah bisw-Swiyaam, uk. 29
- Imechapishwa: 10/05/2019
Swali 26: Ni ipi hukumu ya ambaye aliyazuia matapishi ilihali amefunga? Je, ailipe siku hiyo au hapanaa?
Jibu: Hukumu yake ni kuwa si lazima kulipa. Ama akijitapikisha ni lazima kulipa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”
Ameipokea Imaam Ahmad na waandishi wa ”as-Sunan” wane kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdllaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: As-ilah Muhimmah tata´alaqah bisw-Swiyaam, uk. 29
Imechapishwa: 10/05/2019
https://firqatunnajia.com/26-ni-ipi-hukumu-ya-ambaye-aliyazuia-matapishi-ilihali-amefunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)