Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
21- Kama ambavyo anazingatiwa ni Mwenye kuwahuisha wafu na amestahiki jina hili kabla ya kuwapa uhai, kadhalika amestahiki jina la Muumbaji kabla ya kuwaumba.
MAELEZO
Yeye (Subhaanah) ni Mwenye kusifiwa kwamba ni Mwenye kuwahuisha wafu milele. Sifa hii si yenye kukosekana mpaka awahuishe waliokufa kikweli. Uhakika wa mambo ni kwamba daima alikuwa na sifa hii. Ama wakati atakapowapa uhai wafu inahusiana na kitendo chenye kujijadidi. Yeye (Subhaanah) anahuisha na kufisha pale anapotaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 44
- Imechapishwa: 19/09/2019
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
21- Kama ambavyo anazingatiwa ni Mwenye kuwahuisha wafu na amestahiki jina hili kabla ya kuwapa uhai, kadhalika amestahiki jina la Muumbaji kabla ya kuwaumba.
MAELEZO
Yeye (Subhaanah) ni Mwenye kusifiwa kwamba ni Mwenye kuwahuisha wafu milele. Sifa hii si yenye kukosekana mpaka awahuishe waliokufa kikweli. Uhakika wa mambo ni kwamba daima alikuwa na sifa hii. Ama wakati atakapowapa uhai wafu inahusiana na kitendo chenye kujijadidi. Yeye (Subhaanah) anahuisha na kufisha pale anapotaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 44
Imechapishwa: 19/09/2019
https://firqatunnajia.com/26-mwenye-kuhuisha-na-kufisha-anapotaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)