Mwaka huohuo katika Sha´baan Qiblah kikabadilishwa kutoka Yeruselamu kwenda Ka´bah. Hayo yalipitika miezi kumi na sita tangu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipofika al-Madiynah. Imesemekana vilevile kwamba ni miezi kumi na saba. Yote mawili yamepokelewa katika al-Bukhaariy na Muslim.
Mtu wa kwanza kuelekea Ka´bah alikuwa ni Abu Sa´iyd bin al-Mu´allaa na rafiki yake, kama alivyopokea an-Nasaa´iy:
”Tulimsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anawakhutubia watu na anawasomea kuhusu kugeuzwa kwa Qiblah. Nikamwambia rafiki yangu: ”Hebu njoo tuswali Rakaa´ mbili sisi tuwe wa mwanzo kuswali kuelekea Ka´bah.” Tukaenda na tukajificha na kuswali kukielekea. Kisha akashuka Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akawaswalisha watu Dhuhr.”
Kadhalika ikafaradhishwa swawm ya Ramadhaan na siku ya kufuata ikafaradhishwa Zakaat-ul-Fitwr.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 45
- Imechapishwa: 26/04/2018
Mwaka huohuo katika Sha´baan Qiblah kikabadilishwa kutoka Yeruselamu kwenda Ka´bah. Hayo yalipitika miezi kumi na sita tangu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipofika al-Madiynah. Imesemekana vilevile kwamba ni miezi kumi na saba. Yote mawili yamepokelewa katika al-Bukhaariy na Muslim.
Mtu wa kwanza kuelekea Ka´bah alikuwa ni Abu Sa´iyd bin al-Mu´allaa na rafiki yake, kama alivyopokea an-Nasaa´iy:
”Tulimsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anawakhutubia watu na anawasomea kuhusu kugeuzwa kwa Qiblah. Nikamwambia rafiki yangu: ”Hebu njoo tuswali Rakaa´ mbili sisi tuwe wa mwanzo kuswali kuelekea Ka´bah.” Tukaenda na tukajificha na kuswali kukielekea. Kisha akashuka Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akawaswalisha watu Dhuhr.”
Kadhalika ikafaradhishwa swawm ya Ramadhaan na siku ya kufuata ikafaradhishwa Zakaat-ul-Fitwr.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 45
Imechapishwa: 26/04/2018
https://firqatunnajia.com/25-qiblah-kugeuzwa-na-swawm-kufaradhishwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)