Miongoni mwa haki za mume juu ya mke wake ni yeye kuihifadhi nyumba yake na asimwache akaingia yeyote asiyetaka aingie. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haki zenu juu yao ni wao kutomwacha yeyote yule mnayemchukia akalala kwenye vitanda vyenu.”[1]
Amesema vilevile (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ama kuhusu haki zenu juu ya wake zenu, wasimwache yeyote yule mnayemchukia akalala kwenye vitanda vyenu wala kuingia katika nyumba zenu.”[2]
[1] Muslim (1218).
[2] at-Tirmidhiy (1163) na Ibn Maajah (1851). Nzuri na Swahiyh kwa mujibu wa at-Tirmidhiy.
- Mhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliym ar-Ruhayliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqq-uz-Zawjayn, uk. 39
- Imechapishwa: 24/03/2017
Miongoni mwa haki za mume juu ya mke wake ni yeye kuihifadhi nyumba yake na asimwache akaingia yeyote asiyetaka aingie. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haki zenu juu yao ni wao kutomwacha yeyote yule mnayemchukia akalala kwenye vitanda vyenu.”[1]
Amesema vilevile (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ama kuhusu haki zenu juu ya wake zenu, wasimwache yeyote yule mnayemchukia akalala kwenye vitanda vyenu wala kuingia katika nyumba zenu.”[2]
[1] Muslim (1218).
[2] at-Tirmidhiy (1163) na Ibn Maajah (1851). Nzuri na Swahiyh kwa mujibu wa at-Tirmidhiy.
Mhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliym ar-Ruhayliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqq-uz-Zawjayn, uk. 39
Imechapishwa: 24/03/2017
https://firqatunnajia.com/25-mke-anatakiwa-kuhifadhi-nyumba-ya-mume-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)