Abu Muhammad ´Abdullaah bin Abiy Zayd al-Qayrawaaniy (Rahimahu Allaah) amesema:
Wanatakiwa pia kuzinduliwa juu ya alama za dini na mipaka ya Shari´ah ili wazowee na kuleleka juu yake na yale mambo ya dini ambayo nyoyo zao zinapaswa kuyaamini…
MAELEZO
Mfumo sahihi wa dini ni yale ambayo yako kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah. Kwa sababu zipo dini nyingi. Dini sahihi ni yale ambayo yako kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah kwa ufahamu wa Salaf wa Ummah huu. Kwa hiyo haya ndio yanatakiwa kupandikizwa ndani ya mioyo yao. Watoto wanatakiwa kuhifadhishwa misingi hii ili wakulie juu yake na wayafuate wakishakuwa wakubwa.
Nyoyo zinatakiwa kupewa mazoezi ya kheri kama ambavo miili inapewa mazoezi mbalimbali kama mfano wa kutembea na mazoezi mengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Bayaan-ul-Ma´aaniy fiy Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy, uk. 25
- Imechapishwa: 13/07/2021
Abu Muhammad ´Abdullaah bin Abiy Zayd al-Qayrawaaniy (Rahimahu Allaah) amesema:
Wanatakiwa pia kuzinduliwa juu ya alama za dini na mipaka ya Shari´ah ili wazowee na kuleleka juu yake na yale mambo ya dini ambayo nyoyo zao zinapaswa kuyaamini…
MAELEZO
Mfumo sahihi wa dini ni yale ambayo yako kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah. Kwa sababu zipo dini nyingi. Dini sahihi ni yale ambayo yako kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah kwa ufahamu wa Salaf wa Ummah huu. Kwa hiyo haya ndio yanatakiwa kupandikizwa ndani ya mioyo yao. Watoto wanatakiwa kuhifadhishwa misingi hii ili wakulie juu yake na wayafuate wakishakuwa wakubwa.
Nyoyo zinatakiwa kupewa mazoezi ya kheri kama ambavo miili inapewa mazoezi mbalimbali kama mfano wa kutembea na mazoezi mengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Bayaan-ul-Ma´aaniy fiy Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy, uk. 25
Imechapishwa: 13/07/2021
https://firqatunnajia.com/24-nyoyo-zinatakiwa-kupewa-mazoezi-ya-mambo-ya-kheri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)