La pili: Kipindi cha Ilaa´ kiko pamoja na hedhi na si nifasi. Ilaa´ maana yake ni mume kuapa kuwa hatofanya jimaa na mke wake kabisa au chini chini miezi mine. Akifunga kiapo hicho na mke akamtaka wafanye jimaa ambapo akakataa, ana miezi mine kuanzia ile siku alipofunga kiapo. Baada ya muda kutimia atalazimika kufanya naye jimaa. La sivyo mke ataomba talaka. Ikiwa ndani ya muda huu atapata nifasi, muda huu hauhesabiki kwa mume. Miezi mine hiyo itakuwa ni ya kipekee pasi na nifasi. Tofauti na hedhi ambayo miezi mine hiyo itahesabika kwa mume.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Dimaa’ at-Twabiy´iyyah lin-Nisaa’ http://www.ibnothaimeen.com/all/books/article
- Imechapishwa: 30/10/2016
La pili: Kipindi cha Ilaa´ kiko pamoja na hedhi na si nifasi. Ilaa´ maana yake ni mume kuapa kuwa hatofanya jimaa na mke wake kabisa au chini chini miezi mine. Akifunga kiapo hicho na mke akamtaka wafanye jimaa ambapo akakataa, ana miezi mine kuanzia ile siku alipofunga kiapo. Baada ya muda kutimia atalazimika kufanya naye jimaa. La sivyo mke ataomba talaka. Ikiwa ndani ya muda huu atapata nifasi, muda huu hauhesabiki kwa mume. Miezi mine hiyo itakuwa ni ya kipekee pasi na nifasi. Tofauti na hedhi ambayo miezi mine hiyo itahesabika kwa mume.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ad-Dimaa’ at-Twabiy´iyyah lin-Nisaa’ http://www.ibnothaimeen.com/all/books/article
Imechapishwa: 30/10/2016
https://firqatunnajia.com/24-nifasi-na-ilaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)