Baada ya takriban siku kumi akatoka tena kwenda katika msafara wa kijeshi kwenda Badr. Kikosi hicho kilitokamana na kwamba Kurz bin Jaabir al-Fihriy alikuwa ameshambulia kundi huko al-Madiynah wakati lilikuwa nje na kulisha wanyama wao. Wakamtafuta mpaka walipofika katika bonde linaloitwa Swafawaan lilioko pembezoni mwa Badr. Kurz akawa amefanikiwa kukimbia na kikosi kikarudi. Wakati huo alikuwa amemfanya Zayd bin Haarith (Radhiya Allaahu ´anh) kubaki khalifa al-Madiynah.
Inasemekana vilevile kwamba alimtuma Sa´d bin Abiy Waqqaas (Radhiya Allaahu ´anh) kwenda kumtafuta Kurz bin Jaabir na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Imesemekana vilevile kuwa alimtuma juu ya jambo lingine.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 43
- Imechapishwa: 26/04/2018
Baada ya takriban siku kumi akatoka tena kwenda katika msafara wa kijeshi kwenda Badr. Kikosi hicho kilitokamana na kwamba Kurz bin Jaabir al-Fihriy alikuwa ameshambulia kundi huko al-Madiynah wakati lilikuwa nje na kulisha wanyama wao. Wakamtafuta mpaka walipofika katika bonde linaloitwa Swafawaan lilioko pembezoni mwa Badr. Kurz akawa amefanikiwa kukimbia na kikosi kikarudi. Wakati huo alikuwa amemfanya Zayd bin Haarith (Radhiya Allaahu ´anh) kubaki khalifa al-Madiynah.
Inasemekana vilevile kwamba alimtuma Sa´d bin Abiy Waqqaas (Radhiya Allaahu ´anh) kwenda kumtafuta Kurz bin Jaabir na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Imesemekana vilevile kuwa alimtuma juu ya jambo lingine.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 43
Imechapishwa: 26/04/2018
https://firqatunnajia.com/23-msafara-wa-kwanza-wa-kijeshi-badr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)