21- Kinachotakiwa kufanywa siku ya pili yake
Imependekezwa kwa mume siku ya pili yake akawatembelee jamaa zake [yeye mume] ambao walikuja kumtembelea nyumbani kwake, awasalimie na awaombee du´aa na wao pia imependekezwa kumfanyia vivyo hivyo kutokana na Hadiyth ya Anas (Radhiya Allaahu ´anh) alisema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitengeneza chakula asubuhi ya usiku wa harusi ambapo akawalisha waislamu mikate na nyama. Kisha akawaendea mama za waumini ambapo akawatolea salamu, akawaombea du´aa ambapo nao wakamuitikia salamu na wakamuombea du´aa. Hivyo ndivyo alivyokuwa akifanya asubuhi ya ndoa yake.”[1]
[1] Ameipokea Ibn Sa´d (08/107), an-Nasaa´iy katika “al-Waliymah” (02/66) kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 138-139
- Imechapishwa: 19/03/2018
21- Kinachotakiwa kufanywa siku ya pili yake
Imependekezwa kwa mume siku ya pili yake akawatembelee jamaa zake [yeye mume] ambao walikuja kumtembelea nyumbani kwake, awasalimie na awaombee du´aa na wao pia imependekezwa kumfanyia vivyo hivyo kutokana na Hadiyth ya Anas (Radhiya Allaahu ´anh) alisema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitengeneza chakula asubuhi ya usiku wa harusi ambapo akawalisha waislamu mikate na nyama. Kisha akawaendea mama za waumini ambapo akawatolea salamu, akawaombea du´aa ambapo nao wakamuitikia salamu na wakamuombea du´aa. Hivyo ndivyo alivyokuwa akifanya asubuhi ya ndoa yake.”[1]
[1] Ameipokea Ibn Sa´d (08/107), an-Nasaa´iy katika “al-Waliymah” (02/66) kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 138-139
Imechapishwa: 19/03/2018
https://firqatunnajia.com/23-kinachofanywa-siku-ya-kufuata-ya-ndoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)