116- ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anhu) ameeleza kwamba kuna mtumwa mmoja alikuja na kujaribu kujinunua huru kwake na kusema: “Mimi siwezi nashindwa kujinunua huru. Nisaidie.” Akasema: “Nisikufunze maneno aliyonifunza Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Lau utakuwa na deni mfano wa jibali Allaah Atakulipia nalo. Sema:
اللهُمَّ اكْفِنِي بِحَلاَلِكَ عنْ حَرامِكَ وأَغْنِنِي بِفَضْلِكَ عَمَّنْ سوَاكَ
“Ee Allaah! Nitosheleze mimi kwa halali yako kutokana na haramu yako. Nitajirishe kwa fadhila zako nisiwahitaji wengine usio Wewe.”
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 79-80
- Imechapishwa: 21/03/2017
116- ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anhu) ameeleza kwamba kuna mtumwa mmoja alikuja na kujaribu kujinunua huru kwake na kusema: “Mimi siwezi nashindwa kujinunua huru. Nisaidie.” Akasema: “Nisikufunze maneno aliyonifunza Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Lau utakuwa na deni mfano wa jibali Allaah Atakulipia nalo. Sema:
اللهُمَّ اكْفِنِي بِحَلاَلِكَ عنْ حَرامِكَ وأَغْنِنِي بِفَضْلِكَ عَمَّنْ سوَاكَ
“Ee Allaah! Nitosheleze mimi kwa halali yako kutokana na haramu yako. Nitajirishe kwa fadhila zako nisiwahitaji wengine usio Wewe.”
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 79-80
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/23-duaa-wakati-wa-deni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)