Jina lina adabu zake zinazotakiwa kuzingatiwa kadri na itavyowezekana:
1- Mtu anatakiwa apupie jina liwe zuri kadri na inavyowezekana kujengea zile ngazi za wenye kupewa majina.
2- Jina linatakiwa liwe na herufi chache iwezekanavyo.
3- Jina linatakiwa liwe lepesi iwezekanavyo kutamkwa.
4- Jina linatakiwa lifahamike haraka iwezekanavyo na yule msikilizaji.
5- Mtu awazingatie Malaika na asitoe jina linaloenda kinyume na rika ya mtu, dini na nafasi ya mtu.
Adabu hizi ni muhimu na tukufu.
- Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 20-21
- Imechapishwa: 18/03/2017
Jina lina adabu zake zinazotakiwa kuzingatiwa kadri na itavyowezekana:
1- Mtu anatakiwa apupie jina liwe zuri kadri na inavyowezekana kujengea zile ngazi za wenye kupewa majina.
2- Jina linatakiwa liwe na herufi chache iwezekanavyo.
3- Jina linatakiwa liwe lepesi iwezekanavyo kutamkwa.
4- Jina linatakiwa lifahamike haraka iwezekanavyo na yule msikilizaji.
5- Mtu awazingatie Malaika na asitoe jina linaloenda kinyume na rika ya mtu, dini na nafasi ya mtu.
Adabu hizi ni muhimu na tukufu.
Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 20-21
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/23-adabu-za-kuchagua-jina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)