Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimhu Allaah) amesema:
Mwisho wake: Himdi zote ni Zake Allaah, Mola wa walimwengu. Swalah na amani zimwendee bwana wetu Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake mpaka siku ya Qiyaamah.
MAELEZO
Amemalizia kitabu hiki kama jinsi alivyouanza kwa kumhimidi Allaah na kumswalia Mtume Wake. Huu ni katika uzuri wa kutunga na kufunza kwa kule mtu kumsifu Allaah mwanzoni na mwishoni.
Swalah na amani zimwendee Mtume Wake, mwalimu wa mambo ya kheri na mlinganizi katika dini ya Allaah. Ee Allaah msifu katika ulimwengu wa juu, waswalie familia yake, Maswahabah zake na yule mwenye kufuata uongofu wake na akapita katika mfumo wake na akashikamana na Sunnah zake mpaka siku ya Qiyaamah. Himdi zote ni Zake Yeye Allaah, Mola wa walimwengu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Usuwl-is-Sittah, uk. 44
- Imechapishwa: 19/05/2021
Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimhu Allaah) amesema:
Mwisho wake: Himdi zote ni Zake Allaah, Mola wa walimwengu. Swalah na amani zimwendee bwana wetu Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake mpaka siku ya Qiyaamah.
MAELEZO
Amemalizia kitabu hiki kama jinsi alivyouanza kwa kumhimidi Allaah na kumswalia Mtume Wake. Huu ni katika uzuri wa kutunga na kufunza kwa kule mtu kumsifu Allaah mwanzoni na mwishoni.
Swalah na amani zimwendee Mtume Wake, mwalimu wa mambo ya kheri na mlinganizi katika dini ya Allaah. Ee Allaah msifu katika ulimwengu wa juu, waswalie familia yake, Maswahabah zake na yule mwenye kufuata uongofu wake na akapita katika mfumo wake na akashikamana na Sunnah zake mpaka siku ya Qiyaamah. Himdi zote ni Zake Yeye Allaah, Mola wa walimwengu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Usuwl-is-Sittah, uk. 44
Imechapishwa: 19/05/2021
https://firqatunnajia.com/22-hitimisho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)