Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
17- Sifa Zake hazikuongezeka kutokana nao.
MAELEZO
Hii ina maana kwamba Allaah hakuwa ni Muumbaji baada ya kuumba viumbe. Bali Yeye alikuwa siku zote Muumbaji, haina mwanzo. Ama uumbaji Wake ni wenye kujijadidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 43
- Imechapishwa: 17/09/2019
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
17- Sifa Zake hazikuongezeka kutokana nao.
MAELEZO
Hii ina maana kwamba Allaah hakuwa ni Muumbaji baada ya kuumba viumbe. Bali Yeye alikuwa siku zote Muumbaji, haina mwanzo. Ama uumbaji Wake ni wenye kujijadidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 43
Imechapishwa: 17/09/2019
https://firqatunnajia.com/22-allaah-alikuwa-ni-muumbaji-kabla-ya-kuumba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)