112- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Moyo wa mzee hupata utulivu kwa kupenda mambo mawili; maisha marefu na mali nyingi.”[1]
113- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Lau mwanaadanu angelikuwa na tende mbili za mali basi angelitamani kuwa na ya tatu. Hakuna kitachojaza tumbo la mwanaadamu isipokuwa udongo na Allaah anamsamehe yule mwenye kutubia.”[2]
114- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mbwa mwitu wawili walio na njaa wenye kutumilizwa kwenye kundi la kondoo hawana khatari kwao kuliko pupa ya mtu kwa mali na heshima iko kwa ajili ya dini yake.”[3]
115- al-Madaainiy amesema:
“Sifa mbili hazikutani kamwe; ukinaikaji na hasadi. Sifa mbili hazifarikiani kamwe; pupa na tamaa.”
[1] al-Bukhaariy (11/239) na Muslim (2/724).
[2] Muslim (02/725).
[3] Ahmad (03/456).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ahmad al-Qurtwubiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Hirsw biz-Zuhd wal-Qanaa´ah, uk. 75-77
- Imechapishwa: 18/03/2017
112- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Moyo wa mzee hupata utulivu kwa kupenda mambo mawili; maisha marefu na mali nyingi.”[1]
113- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Lau mwanaadanu angelikuwa na tende mbili za mali basi angelitamani kuwa na ya tatu. Hakuna kitachojaza tumbo la mwanaadamu isipokuwa udongo na Allaah anamsamehe yule mwenye kutubia.”[2]
114- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mbwa mwitu wawili walio na njaa wenye kutumilizwa kwenye kundi la kondoo hawana khatari kwao kuliko pupa ya mtu kwa mali na heshima iko kwa ajili ya dini yake.”[3]
115- al-Madaainiy amesema:
“Sifa mbili hazikutani kamwe; ukinaikaji na hasadi. Sifa mbili hazifarikiani kamwe; pupa na tamaa.”
[1] al-Bukhaariy (11/239) na Muslim (2/724).
[2] Muslim (02/725).
[3] Ahmad (03/456).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ahmad al-Qurtwubiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Hirsw biz-Zuhd wal-Qanaa´ah, uk. 75-77
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/21-uroho-wa-mwanaadamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)