20- Miongoni mwa mambo yenye manufaa ni kumalizana na kazi na matendo katika muda wa sasa na kuwa faragha katika mustakabali. Kwa sababu kazi na matendo yasipomalizwa basi yanakukusanyikia ya sasa na pia kunaongezeka juu yake kazi na matendo yanayokuja baadaye. Matokeo yake utekelezaji wake unakuwa mgumu. Utapomaliza kila jambo katika wakati wake, basi utayaendea mambo ya baadaye kwa fikira zenye nguvu na nguvu ya kutenda.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 31-32
- Imechapishwa: 01/07/2020
20- Miongoni mwa mambo yenye manufaa ni kumalizana na kazi na matendo katika muda wa sasa na kuwa faragha katika mustakabali. Kwa sababu kazi na matendo yasipomalizwa basi yanakukusanyikia ya sasa na pia kunaongezeka juu yake kazi na matendo yanayokuja baadaye. Matokeo yake utekelezaji wake unakuwa mgumu. Utapomaliza kila jambo katika wakati wake, basi utayaendea mambo ya baadaye kwa fikira zenye nguvu na nguvu ya kutenda.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 31-32
Imechapishwa: 01/07/2020
https://firqatunnajia.com/21-sababu-ya-ishirini-ya-maisha-mazuri-usilimbikize-makazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)