Allaah (Ta´ala) Amesema kuhusu kisa cha watu wawili:
وَلَوْلَا إِذْ دَخَلْتَ جَنَّتَكَ قُلْتَ مَا شَاءَ اللَّـهُ لَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللَّـهِ
“Na lau ulipoingia bustanini mwako ungelisema: ‘Maa Shaa Allaah! Laa quwwata illa bilLLaah’ (Ametaka Allaah; hapana nguvu ila za Allaah).” (Aal ´Imraan 03 : 39)
113- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapoona kitu anachokipenda husema:
الحمد لله الذي تَتِمُّ بِنِعْمَتِهِ الصَّالِحَاتُ
“Himdi zote ni Zake Allaah ambaye kwa neema Zake hutimia vizuri.”
Wakati anapoona kitu anachokichukia husema:
الْحَمْدُ للهِ عَلى كُلِّ حال
“Himdi zote ni Zake Allaah kwa kila hali.”
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 77-78
- Imechapishwa: 21/03/2017
Allaah (Ta´ala) Amesema kuhusu kisa cha watu wawili:
وَلَوْلَا إِذْ دَخَلْتَ جَنَّتَكَ قُلْتَ مَا شَاءَ اللَّـهُ لَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللَّـهِ
“Na lau ulipoingia bustanini mwako ungelisema: ‘Maa Shaa Allaah! Laa quwwata illa bilLLaah’ (Ametaka Allaah; hapana nguvu ila za Allaah).” (Aal ´Imraan 03 : 39)
113- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapoona kitu anachokipenda husema:
الحمد لله الذي تَتِمُّ بِنِعْمَتِهِ الصَّالِحَاتُ
“Himdi zote ni Zake Allaah ambaye kwa neema Zake hutimia vizuri.”
Wakati anapoona kitu anachokichukia husema:
الْحَمْدُ للهِ عَلى كُلِّ حال
“Himdi zote ni Zake Allaah kwa kila hali.”
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 77-78
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/21-duaa-wakati-mtu-anapopata-neema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)