3- Kufa usiku wa kuamkia siku ya ijumaa au mchana wake. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakuna muislamu yeyote anayekufa siku ya ijumaa au usiku wa kuamkia ijumaa isipokuwa Allaah atamsalimisha na fitina ya kaburi.”
Ameipokea Ahmad (6582-6646) kupitia njia mbili kutoka kwa ´Abdullaah bin ´Umar na at-Tirmidhiy kutoka katika moja ya njia mbili. Hadiyth hiyo ina ushahidi kupitia kwa Anas, Jaabir bin ´Abdillaah na wengineo. Kwa hivyo Hadiyth kwa njia zake zote ima ni nzuri au Swahiyh[1].
[1] Rejea katika ”Tahfat-ul-Ahwadhiy” na ”al-Mishkaah” (1367).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´ahaa, uk. 49-50
- Imechapishwa: 30/01/2020
3- Kufa usiku wa kuamkia siku ya ijumaa au mchana wake. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakuna muislamu yeyote anayekufa siku ya ijumaa au usiku wa kuamkia ijumaa isipokuwa Allaah atamsalimisha na fitina ya kaburi.”
Ameipokea Ahmad (6582-6646) kupitia njia mbili kutoka kwa ´Abdullaah bin ´Umar na at-Tirmidhiy kutoka katika moja ya njia mbili. Hadiyth hiyo ina ushahidi kupitia kwa Anas, Jaabir bin ´Abdillaah na wengineo. Kwa hivyo Hadiyth kwa njia zake zote ima ni nzuri au Swahiyh[1].
[1] Rejea katika ”Tahfat-ul-Ahwadhiy” na ”al-Mishkaah” (1367).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´ahaa, uk. 49-50
Imechapishwa: 30/01/2020
https://firqatunnajia.com/21-alama-za-mwisho-mwema-iii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)