19- Yaweke mambo yenye manufaa mbele ya macho yako na fanya matendo kuyahakikisha na wala usiyageukie mambo yenye madhara ili kwa kufanya hivo upate kuzipoteza na kuzitenga mbali zile sababu zenye kuleta mambo yenye kusononesha na yenye kuhuzunisha. Taka msaada kwa raha na kuikusanya nafsi yako juu ya matendo yaliyo na umuhimu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 29
- Imechapishwa: 01/07/2020
19- Yaweke mambo yenye manufaa mbele ya macho yako na fanya matendo kuyahakikisha na wala usiyageukie mambo yenye madhara ili kwa kufanya hivo upate kuzipoteza na kuzitenga mbali zile sababu zenye kuleta mambo yenye kusononesha na yenye kuhuzunisha. Taka msaada kwa raha na kuikusanya nafsi yako juu ya matendo yaliyo na umuhimu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 29
Imechapishwa: 01/07/2020
https://firqatunnajia.com/20-sababu-ya-kumi-na-tisa-ya-maisha-mazuri-bidii-kuhakikisha-mambo-yenye-manufaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)