Swali 20: Ni ipi hukumu hedhi ikijitokeza katikati ya mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Ni lazima kwake kujizuia kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanachuoni kwa sababu ameondokewa na udhuru wa Kishari´ah. Hata hivyo ni lazima kwake kuilipa siku hiyo kama ambavo lau mwezi mwandamo utathibiti mchana wa Ramadhaan. Basi katika hali hiyo waislamu watatakiwa kujizuia siku iliyobaki na wailipe siku hiyo kwa mujibu wa wanachuoni wengi. Kadhalika msafiri atapofika katika mji wake katikati ya mchana wa Ramadhaan basi ni lazima kwake kujizuia kutokana na maoni yenye nguvu zaidi ya wanachuoni kwa sababu ameondokewa na hukumu ya safari. Hata hivyo atatakiwa kuilipa siku hiyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdllaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: As-ilah Muhimmah tata´alaqah bisw-Swiyaam, uk. 26-27
- Imechapishwa: 03/05/2019
Swali 20: Ni ipi hukumu hedhi ikijitokeza katikati ya mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Ni lazima kwake kujizuia kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanachuoni kwa sababu ameondokewa na udhuru wa Kishari´ah. Hata hivyo ni lazima kwake kuilipa siku hiyo kama ambavo lau mwezi mwandamo utathibiti mchana wa Ramadhaan. Basi katika hali hiyo waislamu watatakiwa kujizuia siku iliyobaki na wailipe siku hiyo kwa mujibu wa wanachuoni wengi. Kadhalika msafiri atapofika katika mji wake katikati ya mchana wa Ramadhaan basi ni lazima kwake kujizuia kutokana na maoni yenye nguvu zaidi ya wanachuoni kwa sababu ameondokewa na hukumu ya safari. Hata hivyo atatakiwa kuilipa siku hiyo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdllaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: As-ilah Muhimmah tata´alaqah bisw-Swiyaam, uk. 26-27
Imechapishwa: 03/05/2019
https://firqatunnajia.com/20-ni-ipi-hukumu-hedhi-ikijitokeza-katikati-ya-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)