3- Wanaume wanatiwa kwenye mtihani na khaswa ikiwa ni mwanamke mzuri mwenye kuvutia, kucheka na kutupia macho huku na kule. Inasemwa kuwa jicho linapelekea katika salamu, salamu inapelekea katika maongezi, maongezi yanapelekea katika makubaliano na makubaliano yanapelekea katika kukutana. Shaytwaan hutembelea kwenye [mwili wa] binaadamu kama damu. Ni mara ngapi maneno, kicheko na furaha inamfanya mwanaume kudata kwa mwanamke au mwanamke kwa mwanaume ambapo hatimae kunatokea maovu yasiyoepukika! Tunamuomba Allaah afya.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hijaab, uk. 23
- Imechapishwa: 26/03/2017
3- Wanaume wanatiwa kwenye mtihani na khaswa ikiwa ni mwanamke mzuri mwenye kuvutia, kucheka na kutupia macho huku na kule. Inasemwa kuwa jicho linapelekea katika salamu, salamu inapelekea katika maongezi, maongezi yanapelekea katika makubaliano na makubaliano yanapelekea katika kukutana. Shaytwaan hutembelea kwenye [mwili wa] binaadamu kama damu. Ni mara ngapi maneno, kicheko na furaha inamfanya mwanaume kudata kwa mwanamke au mwanamke kwa mwanaume ambapo hatimae kunatokea maovu yasiyoepukika! Tunamuomba Allaah afya.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hijaab, uk. 23
Imechapishwa: 26/03/2017
https://firqatunnajia.com/19-mwanamke-kuonesha-uso-kunamfitinisha-mwanaume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)