16- Yanayohalalika kwake kutoka kwa mwenye hedhi
Inajuzu kwake kustarehe na mwenye hedhi – mbali na kumwingilia kwenye tupu. Kuna Hadiyth juu ya hio:
1- Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… fanya kila kitu isipokuwa tendo la ndoa.”
2- ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesimulia:
“Pindi mmoja wetu alipokuwa na hedhi, basi Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akimwamrisha kufunga kitambaa kisha mume wake anastarehe naye”. Wakati mwingine amesema: “…kisha anamkumbatia na kumpapasa.”[1]
3- Baadhi ya wakeze Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wamesimulia ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anataka kutoka kwa mwenye hedhi kitu, basi huweka nguo kwenye tupu yake halafu anafanya kila anachotaka.”[2]
[1] Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Abu ´Awaanah katika “as-Swahiyh” zao, Abu Daawuud na haya ni matamshi yake kwa nambari (260) na ameisahihisha.
[2] Ameipokea Abu Daawuud (262) kutoka katika “as-Swahiyh” yake na siyaaq ni yake, mlolongo wa wapokezi wake ni Swahiyh juu ya masharti ya Muslim, Ibn ´Abdil-Haadiy ameisahihisha. Ibn Hajar na al-Bayhaqiy wameipa nguvu (01/314) na nyongeza ni yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 122
- Imechapishwa: 12/03/2018
16- Yanayohalalika kwake kutoka kwa mwenye hedhi
Inajuzu kwake kustarehe na mwenye hedhi – mbali na kumwingilia kwenye tupu. Kuna Hadiyth juu ya hio:
1- Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… fanya kila kitu isipokuwa tendo la ndoa.”
2- ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesimulia:
“Pindi mmoja wetu alipokuwa na hedhi, basi Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akimwamrisha kufunga kitambaa kisha mume wake anastarehe naye”. Wakati mwingine amesema: “…kisha anamkumbatia na kumpapasa.”[1]
3- Baadhi ya wakeze Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wamesimulia ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anataka kutoka kwa mwenye hedhi kitu, basi huweka nguo kwenye tupu yake halafu anafanya kila anachotaka.”[2]
[1] Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Abu ´Awaanah katika “as-Swahiyh” zao, Abu Daawuud na haya ni matamshi yake kwa nambari (260) na ameisahihisha.
[2] Ameipokea Abu Daawuud (262) kutoka katika “as-Swahiyh” yake na siyaaq ni yake, mlolongo wa wapokezi wake ni Swahiyh juu ya masharti ya Muslim, Ibn ´Abdil-Haadiy ameisahihisha. Ibn Hajar na al-Bayhaqiy wameipa nguvu (01/314) na nyongeza ni yake.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 122
Imechapishwa: 12/03/2018
https://firqatunnajia.com/18-yanayohalalika-kwa-mume-kutoka-kwa-mwenye-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)