18. Mwanamke kuonesha uso wake kunamwondosha haya

2- Kuodoka kwa haya. Mwanamke haya yake humtoka ambayo ni sehemu katika imani na maumbile yake yanayotakikana. Mwanamke alikuwa akitolewa methali wakati kunapotajwa haya. Ilikuwa inasemwa:

“Ana haya zaidi kuliko bikira kwenye chumba chake.”

Wakati haya inapomtoka mwanamke imani yake hupungua na kadhalika hupoteza maumbile yake aliyoumbwa kwayo.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-Hijaab, uk. 23
  • Imechapishwa: 26/03/2017