2- Kuodoka kwa haya. Mwanamke haya yake humtoka ambayo ni sehemu katika imani na maumbile yake yanayotakikana. Mwanamke alikuwa akitolewa methali wakati kunapotajwa haya. Ilikuwa inasemwa:
“Ana haya zaidi kuliko bikira kwenye chumba chake.”
Wakati haya inapomtoka mwanamke imani yake hupungua na kadhalika hupoteza maumbile yake aliyoumbwa kwayo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hijaab, uk. 23
- Imechapishwa: 26/03/2017
2- Kuodoka kwa haya. Mwanamke haya yake humtoka ambayo ni sehemu katika imani na maumbile yake yanayotakikana. Mwanamke alikuwa akitolewa methali wakati kunapotajwa haya. Ilikuwa inasemwa:
“Ana haya zaidi kuliko bikira kwenye chumba chake.”
Wakati haya inapomtoka mwanamke imani yake hupungua na kadhalika hupoteza maumbile yake aliyoumbwa kwayo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hijaab, uk. 23
Imechapishwa: 26/03/2017
https://firqatunnajia.com/18-mwanamke-kuonesha-uso-wake-kunamwondosha-haya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)