Msafara wa kwanza wa kijeshi ambao Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha ilikuwa ni msafara wa Abwaa´. Ulikuwa katika Safar miaka miwili baada ya kuhajiri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mwenyewe alishiriki katika msafara huo wa kijeshi. Alipofika Waddaan akafunga amani na Banuu Dhamrah bin Bakr bin ´Abdi Manaah bin Kanaanah na mkuu wao wa kabila Makhshiy bin ´Amr. Kisha akarudi al-Madiynah pasi na vita. Katika kipindi hicho alikuwa amemuacha Sa´d bin ´Ubaadah (Radhiya Allaahu ´anh) kuwa khalifa al-Madiynah.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 41
- Imechapishwa: 25/04/2018
Msafara wa kwanza wa kijeshi ambao Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha ilikuwa ni msafara wa Abwaa´. Ulikuwa katika Safar miaka miwili baada ya kuhajiri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mwenyewe alishiriki katika msafara huo wa kijeshi. Alipofika Waddaan akafunga amani na Banuu Dhamrah bin Bakr bin ´Abdi Manaah bin Kanaanah na mkuu wao wa kabila Makhshiy bin ´Amr. Kisha akarudi al-Madiynah pasi na vita. Katika kipindi hicho alikuwa amemuacha Sa´d bin ´Ubaadah (Radhiya Allaahu ´anh) kuwa khalifa al-Madiynah.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 41
Imechapishwa: 25/04/2018
https://firqatunnajia.com/18-kikosi-cha-kwanza-cha-kijeshi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)