Tukiangalia [suala la] mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume ajinabi, basi tutapata madhara mengi. Ikiwa kutapatikana manufaa fulani, basi ni madogo na yanashinda manufaa. Baadhi ya madhara yanapatikana ifuatavyo:
1- Fitina. Mwanamke hujifitinisha mwenyewe pindi anapojipamba uso wake na hujionyesha katika muonekano wenye kufitinisha. Hii ni moja ya sababu kubwa ya shari na ufisadi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hijaab, uk. 22
- Imechapishwa: 26/03/2017
Tukiangalia [suala la] mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume ajinabi, basi tutapata madhara mengi. Ikiwa kutapatikana manufaa fulani, basi ni madogo na yanashinda manufaa. Baadhi ya madhara yanapatikana ifuatavyo:
1- Fitina. Mwanamke hujifitinisha mwenyewe pindi anapojipamba uso wake na hujionyesha katika muonekano wenye kufitinisha. Hii ni moja ya sababu kubwa ya shari na ufisadi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hijaab, uk. 22
Imechapishwa: 26/03/2017
https://firqatunnajia.com/17-mwanamke-kuonesha-uso-wake-kunepelekea-katika-fitina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)