17. Mwanamke kuonesha uso wake kunepelekea katika fitina

Tukiangalia [suala la] mwanamke kufunua uso wake mbele ya wanaume ajinabi, basi tutapata madhara mengi. Ikiwa kutapatikana manufaa fulani, basi ni madogo na yanashinda manufaa. Baadhi ya madhara yanapatikana ifuatavyo:

1- Fitina. Mwanamke hujifitinisha mwenyewe pindi anapojipamba uso wake na hujionyesha katika muonekano wenye kufitinisha. Hii ni moja ya sababu kubwa ya shari na ufisadi.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-Hijaab, uk. 22
  • Imechapishwa: 26/03/2017