16- Imesihi kutoka kwa Abu Ishaaq as-Sabiy´iy kwamba Mughiyth bin Sumayy amesema:
“Nimefikiwa na khabari kwamba Allaah hakuumba kwa mkono Wake isipokuwa vitu vitatu: Ameipanda Pepo kwa mkono Wake, amemuumba Aadam kwa mkono Wake na ameiandika Tawraat kwa mkono Wake.”
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 21
- Imechapishwa: 20/06/2019
16- Imesihi kutoka kwa Abu Ishaaq as-Sabiy´iy kwamba Mughiyth bin Sumayy amesema:
“Nimefikiwa na khabari kwamba Allaah hakuumba kwa mkono Wake isipokuwa vitu vitatu: Ameipanda Pepo kwa mkono Wake, amemuumba Aadam kwa mkono Wake na ameiandika Tawraat kwa mkono Wake.”
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 21
Imechapishwa: 20/06/2019
https://firqatunnajia.com/17-maneno-ya-mughiyth-bin-sumayy-kuhusu-mikono-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)