Swali 17: Ni ipi hukumu ya mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kusoma Qur-aan kwa kutazamia na kwa hifdhi katika hali ya dharurah kama akiwa mwanafunzi au mwalimu?
Jibu: Hakuna ubaya kwa mwanamke mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kusoma Qur-aan ikiwa kunatokana na haja. Kama mfano mwanamke ambaye ni mwalimu au mwanafunzi wa kike ambaye anarudilia masomo wakati wa usiku au mchana.
Kuhusu kusoma Qur-aan kwa minajili ya kutafuta ujira na thawabu bora ni yeye kutofanya hivo. Kwa sababu wanachuoni wengi wanaona kuwa haifai kwa mwenye hedhi kusoma Qur-aan.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 17
- Imechapishwa: 26/06/2021
Swali 17: Ni ipi hukumu ya mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kusoma Qur-aan kwa kutazamia na kwa hifdhi katika hali ya dharurah kama akiwa mwanafunzi au mwalimu?
Jibu: Hakuna ubaya kwa mwanamke mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kusoma Qur-aan ikiwa kunatokana na haja. Kama mfano mwanamke ambaye ni mwalimu au mwanafunzi wa kike ambaye anarudilia masomo wakati wa usiku au mchana.
Kuhusu kusoma Qur-aan kwa minajili ya kutafuta ujira na thawabu bora ni yeye kutofanya hivo. Kwa sababu wanachuoni wengi wanaona kuwa haifai kwa mwenye hedhi kusoma Qur-aan.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 17
Imechapishwa: 26/06/2021
https://firqatunnajia.com/17-katika-hali-hii-hakuna-neno-mwenye-hedhi-kusoma-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)