Wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipotulizana al-Madiynah kati ya Answaar na wakachukua jukumu la kumnusuru na kumlinda dhidi ya watu wote, ndipo waarabu wakakusanyika wote dhidi yao na wakawavamia kutoka kila pembe. Allaah alikuwa amewapa idhini waislamu kutoka kwenda katika Jihaad katika Suurah ”al-Hajj” iliyoteremshwa kipindi cha Makkah. Allaah (Ta´ala) amesema:
أُذِنَ لِلَّذِينَ يُقَاتَلُونَ بِأَنَّهُمْ ظُلِمُوا ۚ وَإِنَّ اللَّـهَ عَلَىٰ نَصْرِهِمْ لَقَدِيرٌ
”Wameruhusiwa kupigana wale wanaopigwa kwa kuwa wamedhulumiwa; na hakika Allaah ni Muweza wa kuwanusuru.”[1]
Walipokuwa na nguvu za kutosha al-Madiynah ndipo Allaah akawafaradhishia Jihaad. Allaah (Ta´ala) amesema katika Suurah ”al-Baqarah”:
كُتِبَ عَلَيْكُمُ الْقِتَالُ وَهُوَ كُرْهٌ لَّكُمْ ۖ وَعَسَىٰ أَن تَكْرَهُوا شَيْئًا وَهُوَ خَيْرٌ لَّكُمْ ۖ وَعَسَىٰ أَن تُحِبُّوا شَيْئًا وَهُوَ شَرٌّ لَّكُمْ ۗ وَاللَّـهُ يَعْلَمُ وَأَنتُمْ لَا تَعْلَمُونَ
”Mmefaradhishiwa kupigana vita – nako kunachukiza mno kwenu – na huenda mkalichukia jambo ilihali ni lenyewe kheri kwenu na huenda mkapenda jambo ilihali ni lenyewe shari kwenu. Allaah anajua na nyinyi hamjui.”[2]
[1] 22:39
[2] 02:216
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 40
- Imechapishwa: 25/04/2018
Wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipotulizana al-Madiynah kati ya Answaar na wakachukua jukumu la kumnusuru na kumlinda dhidi ya watu wote, ndipo waarabu wakakusanyika wote dhidi yao na wakawavamia kutoka kila pembe. Allaah alikuwa amewapa idhini waislamu kutoka kwenda katika Jihaad katika Suurah ”al-Hajj” iliyoteremshwa kipindi cha Makkah. Allaah (Ta´ala) amesema:
أُذِنَ لِلَّذِينَ يُقَاتَلُونَ بِأَنَّهُمْ ظُلِمُوا ۚ وَإِنَّ اللَّـهَ عَلَىٰ نَصْرِهِمْ لَقَدِيرٌ
”Wameruhusiwa kupigana wale wanaopigwa kwa kuwa wamedhulumiwa; na hakika Allaah ni Muweza wa kuwanusuru.”[1]
Walipokuwa na nguvu za kutosha al-Madiynah ndipo Allaah akawafaradhishia Jihaad. Allaah (Ta´ala) amesema katika Suurah ”al-Baqarah”:
كُتِبَ عَلَيْكُمُ الْقِتَالُ وَهُوَ كُرْهٌ لَّكُمْ ۖ وَعَسَىٰ أَن تَكْرَهُوا شَيْئًا وَهُوَ خَيْرٌ لَّكُمْ ۖ وَعَسَىٰ أَن تُحِبُّوا شَيْئًا وَهُوَ شَرٌّ لَّكُمْ ۗ وَاللَّـهُ يَعْلَمُ وَأَنتُمْ لَا تَعْلَمُونَ
”Mmefaradhishiwa kupigana vita – nako kunachukiza mno kwenu – na huenda mkalichukia jambo ilihali ni lenyewe kheri kwenu na huenda mkapenda jambo ilihali ni lenyewe shari kwenu. Allaah anajua na nyinyi hamjui.”[2]
[1] 22:39
[2] 02:216
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 40
Imechapishwa: 25/04/2018
https://firqatunnajia.com/17-jihaad-iliidhinishwa-makkah-ikafaradhishwa-al-madiynah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)