Swali 165: Je, maiti anaadhibiwa kwa familia yake kumlilia[1]?
Jibu: Kwa kumfanyia maombolezo peke yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/416).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 120