160. Kusambaza karatasi inayoonyesha ni wapi ataswaliwa maiti

Swali 160: Sisi kazini kwetu anapofariki mfanyakazi mwenzetu basi kunasambazwa karatasi inayoonyesha ni wapi ataswaliwa au mahali pa tanzia. Ni ipi hukumu[1]?

Jibu: Sitambui ubaya wowote wa kufanya hivo. Ni kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya juu ya an-Najaashiy. Hakuna ubaya wa kusema kuwa watamswalia katika msikiti fulani.

[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/410).

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 117
  • Imechapishwa: 22/01/2022