Ujuu wa Allaah (Ta´ala) ni katika sifa za kidhati ambayo katu haitengani Naye. Pamoja na hivyo ni jambo halipingani na kushuka Kwake katika mbingu ya chini. Sifa hizi mbili zinaoanishwa ifautavyo:
1- Maandiko katika Qur-aan na Sunnah imeyaoanisha na hayawezi kutaja kitu kisichowezekana kabisa kama tulivyotangulia kusema.
2- Hakuna kitu ambacho ni mfano wa Allaah katikaa sifa Zake zote. Kuteremka Kwake sio kama wanavoshuka viumbe mpaka mtu aseme kuwa kunapingana na ujuu Wake – na Allaah ndiye anajua zaidi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fath Rabb-il-Bariyyah, uk. 55
- Imechapishwa: 28/04/2020
Ujuu wa Allaah (Ta´ala) ni katika sifa za kidhati ambayo katu haitengani Naye. Pamoja na hivyo ni jambo halipingani na kushuka Kwake katika mbingu ya chini. Sifa hizi mbili zinaoanishwa ifautavyo:
1- Maandiko katika Qur-aan na Sunnah imeyaoanisha na hayawezi kutaja kitu kisichowezekana kabisa kama tulivyotangulia kusema.
2- Hakuna kitu ambacho ni mfano wa Allaah katikaa sifa Zake zote. Kuteremka Kwake sio kama wanavoshuka viumbe mpaka mtu aseme kuwa kunapingana na ujuu Wake – na Allaah ndiye anajua zaidi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fath Rabb-il-Bariyyah, uk. 55
Imechapishwa: 28/04/2020
https://firqatunnajia.com/16-kuoanisha-kati-ya-ujuu-wa-allaah-na-kushuka-kwake-katika-mbingu-ya-chini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)