Swali 159: Ni ipi hukumu ya maneno ya wafiwa wa maiti kuwaambia watu:
“Mfanyieni halali ndugu yenu.”
na pia kuwaambia wamwombee msamaha[1]?
Jibu: Sijui msingi wa jambo hilo. Lakini ni sawa ikiwa anajua kuwa ni amewadhulumu na akawaomba wamhalalishie. Vinginevyo atosheke na kuwaomba wamwombee du´aa na msamaha.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/409).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 116-117
- Imechapishwa: 22/01/2022
Swali 159: Ni ipi hukumu ya maneno ya wafiwa wa maiti kuwaambia watu:
“Mfanyieni halali ndugu yenu.”
na pia kuwaambia wamwombee msamaha[1]?
Jibu: Sijui msingi wa jambo hilo. Lakini ni sawa ikiwa anajua kuwa ni amewadhulumu na akawaomba wamhalalishie. Vinginevyo atosheke na kuwaomba wamwombee du´aa na msamaha.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/409).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 116-117
Imechapishwa: 22/01/2022
https://firqatunnajia.com/159-muhalalishieni-ndugu-yenu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)