Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Na yote haya ni katika mambo makubwa ambayo yanakuwa ni yenye khatari na hutokea mara nyingi.
MAELEZO
Kwa nini Shaykh amechagua vichenguzi hivi pamoaj na kwamba vichenguzi ni vingi? Kwa sababu vichenguzi hivi kumi ndio ambayo hutokea mara nyingi. Kadhakika ndio yenye khatari zaidi. Amevichagua kwa sababu mbili:
Ya kwanza: Ndio vichenguzi ambavyo hutokea mara nyigni.
Ya kwanza: Ndivyo vyenye khatari zaidi.
Hali ikishakuwa hivo basi yana haki zaidi ya kuyatilia umuhimu na kutahadhari nayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 201
- Imechapishwa: 19/03/2019
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Na yote haya ni katika mambo makubwa ambayo yanakuwa ni yenye khatari na hutokea mara nyingi.
MAELEZO
Kwa nini Shaykh amechagua vichenguzi hivi pamoaj na kwamba vichenguzi ni vingi? Kwa sababu vichenguzi hivi kumi ndio ambayo hutokea mara nyingi. Kadhakika ndio yenye khatari zaidi. Amevichagua kwa sababu mbili:
Ya kwanza: Ndio vichenguzi ambavyo hutokea mara nyigni.
Ya kwanza: Ndivyo vyenye khatari zaidi.
Hali ikishakuwa hivo basi yana haki zaidi ya kuyatilia umuhimu na kutahadhari nayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 201
Imechapishwa: 19/03/2019
https://firqatunnajia.com/158-kwa-nini-mtunzi-wa-kitabu-amechagua-vichenguzi-kumi-tu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)