Swali 154: Ni wapi limetokea jambo la ukumbusho (الذكرى) analofanyiwa maiti siku ya tatu tangu pale alipowekwa ndani ya kaburi[1]?
Jibu: Limezuliwa ni wajinga juu ya Uislamu na yale yanayowapasa kufanya katika kuhifadhi misingi na matawi yake. Hawana uzani wowote wa kidini uliosalimika. Bali wamepachikwa kuwaigiliza wapotofu. Kwa hiyo ni Bid´ah iliyozuliwa ndani ya Uislamu. Kwa hiyo inakuwa ni yenye kurudishwa nyuma kwa mujibu wa Shari´ah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu basi atarudishiwa mwenyewe.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/398).
[2] Muslim (1718).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 113-114
- Imechapishwa: 27/01/2022
Swali 154: Ni wapi limetokea jambo la ukumbusho (الذكرى) analofanyiwa maiti siku ya tatu tangu pale alipowekwa ndani ya kaburi[1]?
Jibu: Limezuliwa ni wajinga juu ya Uislamu na yale yanayowapasa kufanya katika kuhifadhi misingi na matawi yake. Hawana uzani wowote wa kidini uliosalimika. Bali wamepachikwa kuwaigiliza wapotofu. Kwa hiyo ni Bid´ah iliyozuliwa ndani ya Uislamu. Kwa hiyo inakuwa ni yenye kurudishwa nyuma kwa mujibu wa Shari´ah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu basi atarudishiwa mwenyewe.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/398).
[2] Muslim (1718).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 113-114
Imechapishwa: 27/01/2022
https://firqatunnajia.com/154-mambo-ya-ukumbusho-anayofanyiwa-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)