Ugaidi kwa mujibu wa istilahi zake zote ni maradhi yenye kuua, tabia yenye kukemewa na janga kubwa lililoupata ulimwengu mzima. Katika kila nchi una sura yake, malengo yake, athari yake na dawa yake kutegemea na kanuni za nchi yenyewe, nidhamu zake, desturi zake, mila zake, Uislamu, tabia zake na maadili yake.
Hapa nitatosheka na kuandika mfumo wa namna ya kutibu ugaidi na ni nani mwenye jukumu la kuutunza ugaidi huo.
Kabla ya kuingia katika maudhui haya nataka kukumbusha jambo moja linalotambulika na kila mmoja. Hakuna watu wa matamanio wahusika wa tabia mbovu wanaosababisha aina yoyote ya ugaidi nchini Saudi Arabia isipokuwa Allaah huifanya nchi na raia wake kushinda na magaidi kudhalilika kubaya kabisa. Yale mashambulizi ya kigaidi yaliyotangulia ni ushahidi bora kabisa wa haya niyasemayo.
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Irhaab, uk. 22
- Imechapishwa: 14/04/2017
Ugaidi kwa mujibu wa istilahi zake zote ni maradhi yenye kuua, tabia yenye kukemewa na janga kubwa lililoupata ulimwengu mzima. Katika kila nchi una sura yake, malengo yake, athari yake na dawa yake kutegemea na kanuni za nchi yenyewe, nidhamu zake, desturi zake, mila zake, Uislamu, tabia zake na maadili yake.
Hapa nitatosheka na kuandika mfumo wa namna ya kutibu ugaidi na ni nani mwenye jukumu la kuutunza ugaidi huo.
Kabla ya kuingia katika maudhui haya nataka kukumbusha jambo moja linalotambulika na kila mmoja. Hakuna watu wa matamanio wahusika wa tabia mbovu wanaosababisha aina yoyote ya ugaidi nchini Saudi Arabia isipokuwa Allaah huifanya nchi na raia wake kushinda na magaidi kudhalilika kubaya kabisa. Yale mashambulizi ya kigaidi yaliyotangulia ni ushahidi bora kabisa wa haya niyasemayo.
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Irhaab, uk. 22
Imechapishwa: 14/04/2017
https://firqatunnajia.com/15-magaidi-saudi-arabia-daima-huishilia-wakiwa-watwevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)