13- Kuoga kabla ya kulala ndio bora zaidi
Kuoga kabla ya kulala ndio bora zaidi kutokana na Hadiyth ya ´Abdullaah bin Qays aliyesema:
“Nilimuuliza ´Aaishah kwa kusema: “Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifanya vipi katika janaba? Je, alikuwa akioga kabla ya kulala au akilala kabla ya kuoga?” Akajibu: “Alikuwa akifanya yote hayo; wakati fulani alikuwa akioga kisha ndio analala na wakati mwingine akitawadha ndio analala.” Ndipo nikasema: “Himdi zote anastahiki Allaah ambaye amejaalia wasaa katika jambo hili.”[1]
[1] Ameipokea Muslim (01/171), Abu ´Awaanah (01/278) na Ahmad (06/73) na (149).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 117-119
- Imechapishwa: 10/03/2018
13- Kuoga kabla ya kulala ndio bora zaidi
Kuoga kabla ya kulala ndio bora zaidi kutokana na Hadiyth ya ´Abdullaah bin Qays aliyesema:
“Nilimuuliza ´Aaishah kwa kusema: “Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifanya vipi katika janaba? Je, alikuwa akioga kabla ya kulala au akilala kabla ya kuoga?” Akajibu: “Alikuwa akifanya yote hayo; wakati fulani alikuwa akioga kisha ndio analala na wakati mwingine akitawadha ndio analala.” Ndipo nikasema: “Himdi zote anastahiki Allaah ambaye amejaalia wasaa katika jambo hili.”[1]
[1] Ameipokea Muslim (01/171), Abu ´Awaanah (01/278) na Ahmad (06/73) na (149).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 117-119
Imechapishwa: 10/03/2018
https://firqatunnajia.com/15-kuoga-kabla-ya-kulala-ndio-bora-zaidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)