Mwanamke atajua vipi kwamba hedhi yake imekatika? Atalijua hilo kwa kukatika damu yake, jambo ambalo linapatikana kwa moja katika alama mbili:
Ya kwanza: Kushuka kwa maji meupe. Hayo ni maji meupe yanayofuatia hedhi. Maji hayo yanafanana na maji ya chokaa. Kuna uwezekano maji hayo yakawa na rangi isiyokuwa nyeupe. Huenda hali yake ikatofautiana kutegemea na hali za wanawake.
Ya pili: Ukavu kwa njia ya kwamba ataweka kitambara au pamba ndani ya tupu yake kisha akitoe hali ya kuwa ni kikavu na hakina kitu katika damu, rangi ya kijivu wala rangi ya manjano.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 31
- Imechapishwa: 28/10/2019
Mwanamke atajua vipi kwamba hedhi yake imekatika? Atalijua hilo kwa kukatika damu yake, jambo ambalo linapatikana kwa moja katika alama mbili:
Ya kwanza: Kushuka kwa maji meupe. Hayo ni maji meupe yanayofuatia hedhi. Maji hayo yanafanana na maji ya chokaa. Kuna uwezekano maji hayo yakawa na rangi isiyokuwa nyeupe. Huenda hali yake ikatofautiana kutegemea na hali za wanawake.
Ya pili: Ukavu kwa njia ya kwamba ataweka kitambara au pamba ndani ya tupu yake kisha akitoe hali ya kuwa ni kikavu na hakina kitu katika damu, rangi ya kijivu wala rangi ya manjano.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 31
Imechapishwa: 28/10/2019
https://firqatunnajia.com/15-faida-nyingine-ni-lini-mwanamke-anajua-kama-damu-yake-imekauka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)